73. YESU ZAMANI BETHILEHEMU
YESU ZAMANI BETHILEHEMU
1. Yesu zamani Bethilehemu,
Aliyezaliwa kwa aibu,
Ndiye mwakozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.
Chorus:
Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi;
Ndiye mwaokozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.
2. Yesu akafa msalabani,
Kuniponya akalipa deni,
Ni la ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi!
Akaja kwa mimi; akaja kwa mimi;
Ndiye mwaokozi wa ulimwengu,
Akaja kwa mimi.
2. Yesu akafa msalabani,
Kuniponya akalipa deni,
Ni la ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi!
Chorus:
Kunifia mimi! Kunifia mimi!
Ni la ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi.
3. Ni Yeye huyo tangu asili;
Na nilipotanga-tanga mbali
Alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi.
Kunifia mimi! Kunifia mimi!
Ni la ajabu ya jinsi gani
Kunifia mimi.
3. Ni Yeye huyo tangu asili;
Na nilipotanga-tanga mbali
Alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi.
Chorus:
Kuniita mimi; Kuniita mimi;
Alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi.
Kuniita mimi; Kuniita mimi;
Alikuja kwa upole, kweli
Kuniita mimi.
4. Yesu kristo atarudi tena,
Hilo lanifurahisha sana.
Yeye Bwana akionekana
Kunijia mimi.
Chorus:
Kunijia mimi, kunijia mimi,
Yeye Bwana akionekana
Kunijia mimi.
Comments
Post a Comment